Posts

Showing posts from April, 2012

Namna ya kupunguza tumbo kwa wanawake

Image
     Namna ya kupunguza tumbo   kwa wanawake   KUWA na umbo la kuvutia ni matarajio ya wanawake wengi kwa kuwa huo ndiyo msingi wa urembo wao na huchangia kwa kiasi kikubwa kumfanya mhusika aonekane bomba hata kwa mavazi yake ya aina mbalimbali. Kuwa na matumbo makubwa ni tatizo ambalo limekuwa likikwamisha ndoto za wanawake wengi kufikia kiwango cha urembo wanaohitaji. Kwa mujibu wa wataalamu, ulaji holela ni chanzo kikuu cha kunenepa.                                                            Lakini mimi kama mtaalamu wa afya kwa upande wa dawa, kuna dawa nzuri sana za vidonge zinazotokana na mimea ambazo watu wengi wamekuwa wakitumia na zinawasaidia sana.                                                      Dawa hizi zina fanya kazi kwa kupunguza hamu ya kula na pia zinasaidia kuondoa mafuta mwilini( convert fat into glucose). Kwa wale wanao hitaji wanaweza kunipigia 0654408562/ 0762511952 Imeandaliwa na Felix Mbanga Email: f.mbanga@yahoo.com Phone :0654408562 / 076